SectionsEntranceNatamani Kuruka

Natamani Kuruka

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Verse 1

Nipishe njia nipeni nafasi

Nimuonyeshe Mungu nilivyofurahi

Nitamwimbia ngoma nitacheza

Nimuonyeshe Mungu nilivyofurahi

Chorus

Natamani kuruka, nifika kule

Nimuinue Mungu kwa mikono yangu

Nimueleze kwa kinywa, changu mwenyewe

Kwamba nimefurahi kwa upendo wake

Bwana nashukuru, nashukuru nashukuru tu

Ninashukuru kwa kunipenda bila mwisho

Sina cha kusema, cha kusema cha kusema tu

Ninashukuru kwa kunipenda bila mwisho

Verse 3

Kaniinua kutoka shimoni -

Akaniweka juu ya kinara -

Nitazunguka kwa maringo tele -

Na tabasamu lisilo kauka -

Verse 4

Nitawashika wenzangu mikono -

Tujiinue juu kwa pamoja -

Wenzangu si mmejionea wenyewe -

Mungu alivyo mwema wa ajabu -

Verse 5

Nitaandika utukufu wake -

Na wajukuu wangu wausome -