SectionsThanksgivingNasimulia Sifa

Nasimulia Sifa

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

{ Nasimulia sifa za Bwana Mungu, tena na maajabunkwa viumbe wa duniani Mungu ni mtawala } *2n

Nashangaa lo! nashangaa lo! *2n{ Viwete wamepona, viziwi wamesikia,

Bubu wamesemasema Mungu ni mtawala,nkazi yake hutenda kwa haki } *2

Verse 2

Kakusanya maji chungu chungu, maji ya bahari,

Karatibisha udongo wenye rutuba

Verse 3

Mwanga pia giza, kazitoa kwa ratiba yake,

Mchana wa jua, usiku wa mbalamwezi

Verse 4

Miti ya matunda, mingine isiyo na matunda,

Mingine mirefu, mingine mifupi sana

Verse 5

Enyi watu wote mwimbieni mwimbieni Mungu

Lisifuni jina lake Mungu wa miungu.