Nasimulia Sifa
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{ Nasimulia sifa za Bwana Mungu, tena na maajabunkwa viumbe wa duniani Mungu ni mtawala } *2n
Nashangaa lo! nashangaa lo! *2n{ Viwete wamepona, viziwi wamesikia,
Bubu wamesemasema Mungu ni mtawala,nkazi yake hutenda kwa haki } *2
Verse 2
Kakusanya maji chungu chungu, maji ya bahari,
Karatibisha udongo wenye rutuba
Verse 3
Mwanga pia giza, kazitoa kwa ratiba yake,
Mchana wa jua, usiku wa mbalamwezi
Verse 4
Miti ya matunda, mingine isiyo na matunda,
Mingine mirefu, mingine mifupi sana
Verse 5
Enyi watu wote mwimbieni mwimbieni Mungu
Lisifuni jina lake Mungu wa miungu.