SectionsBible ProcessionNasikia Sauti Nzuri

Nasikia Sauti Nzuri

Ordinary Time,PentecostalBible Procession
Verse 1

Nasikia sauti nzuri kama ya malaika

Ni sauti toka mbinguni, sauti ya Mungu

Aniita mimi niende nikamtumikie

Anitume shambani mwake nikavune yote

Chorus

Umeniita, nimeitika wito, nakuja kwako leo,nnajongea mbele zako Bwana nipokee mimi,nniko tayari, nimeyaacha yote,nnajikabidhi kwako,nunitume popote nami nitakwenda haraka

Verse 3

Ninaenda mimi naenda, ninaenda mwenyewe,nninaenda mbele za Bwana, sitarudi nyuma,nndugu zangu na marafki, mniache niende,nnikafanye kazi ya Bwana, nitakapotumwan

Nilitazama moyo wako, moyo wako mwanangu,nhata kabla hujazaliwa, nilikutambua,nnilikuteua mapema kati ya ndugu zako,nuwe kuhani wangu mimi, kuhani mkuun

Shamba lake Bwana ni kubwa nanmavuno ni mengi,nwavunaji ndio wachache nitakwenda mimi,nnakuomba sana ee Bwana,nnipeleke shambani,nnikavune mavuno yote yaliyo tayari.n

Uwe nami siku kwa siku, Bwana usiniachenunikinge na majaribu nilinde daimannipeleke habari njema, ulimwenguni mwote,nwatu wote wakutambue, wakugeukie