SectionsEucharistNapiga Goti Langu

Napiga Goti Langu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

Napiga goti langu (Bwana), nainamisha kichwa (chini)n{Kukuomba ewe Mungu-, unifungue moyo-

Nipate kushiriki- karamu takatifu-

Ili roho yangu dhaifu ipate wokovu} * 2

Verse 2

Furaha ya moyo wangu ni wewe Bwana

Matumaini ya moyo wangu ni kwako

Ninajongea sasa kushiriki karamu takatifu, Bwana, wangu

Verse 3

Ninaitikia mwaliko wako Bwana

Moyo wangu unatetemeka kwa hofu

Mwaliko wako umejaa upendo kwangu moyoni

Verse 4

Kila tuulapo mwili wa Bwana Yesu

Na kuinywa damu tunapata uzima

Tumekombolewa kwa damu yake Mwanakondoo, Mwana wake Mungu