Nani Ni Nani

Thanksgiving
Verse 1

Nani ni nani *2 nani kama Mungu.

Mwenye uweza na mwenye ukuu,nnani ni nani nani kama Mungu.

Verse 2

Ameniumba jinsi nilivyo nipendezavyo -nni nani kama Mungu

Niseme nini niimbe vipi nilie vipi

Verse 3

Tazama jua mwezi na nyota,nmbingu na nchi -

Lo! usiku jua li wapi ni maajabu -

Verse 4

Ananilinda mchana kutwa pia usiku -

Nikitembea nikisimama ananilinda -

Verse 5

Tazama ndege wa msituni wanavyoishi -

Hawana shamba wala virende anawalisha

Verse 6

Na maarifa tuliyonayo yeye katupa -

Njooni pamoja tumwimbie na tumsifu -