SectionsExitNani Kama Mama

Nani Kama Mama

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianExit
Verse 1

Kwa ujasiri kwa sauti kubwa,nnazitangaza sifa za mama [Maria]

Nawauliza wakubwa wadogo,

Ni nani kama mama [Maria]

Chorus

Alimzaaa Mungu mwenyewe [kweli]namewakomboa wana wa Eva [wote]

Mama Maria anatuombea kwenye safarintufike salama [Mama Maria]

Atungojea kule kwa mwanayenatupokee tuishi salama *2

Verse 3

Kwa sifo tele kwa shangwe nderemo,

Tujitokeze mbele za mama [Maria]

Tucheze ngoma tupige makofi,nvigelegele heko kwa mama [Maria]

Verse 4

Salamu Mama umebarikiwa,

Na baraka kuliko wote [Maria]

Mzao wako amebarikiwa,

Yesu mwanao ni Mungu kweli [Maria]

Verse 5

Tukimbilie ulinzi wa mama,

Tufunuliwe siri za Mbingu[Maria]

Tupate shibe tupate neema,

Tuwe na heri hata milele [Maria]