Nalifurahi

Ordinary TimeEntrance
Verse 1

Nalifurahi waliponiambiantwende nyumbani mwa Bwana*2

Nalifurahi waliponiambiantwende nyumbani mwa Bwana*2

Chorus

Twende nyumbani*2 njoonintwende tuingie nyumbaninmwake Bwana Mungu-ninapendeza

Verse 3

Nyumba wa Mungu ya kuabudiwa

Njooni tukamuabudu*2

Nyumba ya Mungu inayopendeza kwani imejaa Barakan

Nyumba ya Mungu ni yenyenamani pia ni yenye upendo

Tufurahie nyumba yake Mungunkwani ni yenye furaha*2n

Tucheze ngoma kinanda,nkinumbi, gita,kayamba na zeze*2

Tumuimbie anayestahili, kwani ni Mungu milele