Verse 1
Nalifurahi waliponiambiantwende nyumbani mwa Bwana*2
Nalifurahi waliponiambiantwende nyumbani mwa Bwana*2
Chorus
Twende nyumbani*2 njoonintwende tuingie nyumbaninmwake Bwana Mungu-ninapendeza
Verse 3
Nyumba wa Mungu ya kuabudiwa
Njooni tukamuabudu*2
Nyumba ya Mungu inayopendeza kwani imejaa Barakan
Nyumba ya Mungu ni yenyenamani pia ni yenye upendo
Tufurahie nyumba yake Mungunkwani ni yenye furaha*2n
Tucheze ngoma kinanda,nkinumbi, gita,kayamba na zeze*2
Tumuimbie anayestahili, kwani ni Mungu milele