Chorus
Nalifurahi waliponiambia twende,
Nyumbani mwa Bwana *2
Miguu yetu (u yetu) imesimama
Imesimama ndani ya malango yako, ee Yerusalemu
Verse 2
Yerusalemu uliyojengwa,
Kama mji ulioshikamana *2
Verse 3
Huko ndiko walikopanda,
Kabila za Bwana Mungu wetu*2
Verse 4
Kwa ajili ya ndugu zetu
Na rafiki amani iwe nawe *2
Verse 5
Kwa ajili ya nyumba ya Bwana
Nitafute mema siku zote*2