SectionsEucharistNakukaribisha Yesu Wangu

Nakukaribisha Yesu Wangu

Eucharist
Verse 1

Nakukaribisha Yesu wangu ukae moyoni mwangu, (Bwana),

Nakukaribisha Yesu wangu chakula chenye uziman

Chorus

(Nishibishe) unishibishe (kwa chakula) chakula cha uzima

Niyweshe kinywaji safi cha rohon

Verse 3

Mwili wako ni chakula kinacho iburudisha roho yangu

Yesu karibu moyoni mwangu ukae name daiman

Verse 4

Damu yako ni kinywaji kinacho iburudisha roho yangu,

Yesu karibu moyoni mwangu, ukae nami daiman

Verse 5

Kwa Mwili na Damu yako Ee Yesu tunapata uzima tele

Yesu karibu moyoni mwangu, ukae nami daiman