Nakuja Mbele Zako Bwana
,Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
Nakuja mbele zako Bwana,nninakuja na zawadi yangu,ningawa ni kidogo (sana)
Bwana uipokee x2
Verse 2
Nimekaa mimi nimejiuliza moyoni,nnitaenda je mbele za Bwana.
Kwani Bwana amenilinda mimi salamanamezibariki kazi zangu.
Mungu Baba, pokea nilichonachon
Ninatoa kwa moyo mkunjufu pokea,nhiki kidogo nilichonacho.
Haya yote ni kwa ajili yako pokea,nuzidi kunijalia mema.
Ninaleta, mbele ya altare yakon
Mkate na Divai twaleta pokea,nvigeuze mwili pia damu.
Hata fedha zetu za mifukoni twakupa,nzote ni mali yako e Bwana.
Tubariki, tupokee mbele zako.