Nakuabudu

Eucharist
Verse 1

Nakuabudu Yesu katika Hostya

U Mungu kweli na mwanadamunkatika Sacramenti

Chorus

Nakwabudu nakwabudu

Fudi fudi E Mfalme mtukufu wa milele

Verse 3

Ee Yesu kwa mapendo una kaa kwetu

U mgeni wetu toka mbingunintwakuja kuabudu

Verse 4

Baraka yako Yesu utupatie

Tukinge na maovu ya leontuishi kwa amani

Verse 5

Uwabariki pia wapenzi wetu

Uwajalie neema yakonwatoe shukrani kuu