Verse 1
Naja mbele yako ewe Mungu wangu huku nimejawa na dhambi
Bwana usiniache uniwie radhi, mbele yako Bwana natubu
Chorus
Naja kwako nipokee, ingawa mimi nina dhambi *2
Verse 3
Nipe nguvu Bwana nishinde shetani, niishi na wewe daima,
Nikutumikie siku zangu zote, niking`ara kama theluji
Verse 4
Sadaka naleta ingawa sifai, lakini we Bwana pokea
Mkate divai zote nazileta, ewe Bwana wangu pokea