Naja Kwako Nipokee
Ordinary TimePresentation of Gifts
Verse 1
Naja mbele yako ewe Bwana Mungu
Huku nimejawa na dhambi
Bwana siniache uniwie radhi
Mbele yako Bwana natubun
Chorus
Naja kwako nipokee ‘ngawa mimi ninmdhambin
Verse 3
Sadaka naleta ingawa sifai
Lakini ee Bwana pokea
Mkate diavi zote nazileta
Ewe Bwana mwema nipokee
Shetani muovu amenizingira
Pembe zote Bwana nalia
Usiku silali ninahangaika
Ewe Bwana mwema nipokee
Verse 4
Nipe nguvu Bwana nishinde shetani
Niishi na wewe daima
Nikutumikie siku zangu zote
Niking’ara kama theluji