Naja Kwako Bwana
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeBible Procession
Chorus
Naja kwako Bwana, unipokee mtumishi wako *2
Kuijongea altare yako, ee Bwana unipokee
Kukutolea sadaka ya misa, ee Bwana unipokee
Kati ya milango yako, Bwana napita.
Niwekee mkono wako, nibariki *2
Verse 2
Ninakuja kwako kukusujudia,
Kukutolea shukrani, sala na maombi yangu *2
Verse 3
Nitakusujudu ee mungu wangu,
Nifanye toba ya kweli, katika hii nyumba takatifu *2
Verse 4
Nitakuimbia kwa nyimbo nzuri
Kwa nyimbo nzuri za shangwe,
Kukuabudu ee Bwana Mungu *2