SectionsEntranceNafurahi Kukusifu

Nafurahi Kukusifu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Nafurahi nikikusifu Mungu,

Nafurahi kukushukuru Mungu

Ninapoimba, na kucheza, kukusifu Mungu wangu

Narukaruka, kama ndege, kulisifu Jina lako tukufu

Verse 2

Jina lako tukufu na la kufurahisha, ee Bwana, ee Bwana

Verse 3

Watu wote tusifu kwa sauti zetu, na ngoma, na ngoma

Verse 4

Katenda miujiza leo tukawa hai, ee Bwana ee Bwana

Verse 5

Ndege na warukeruke wanyama waimbe, ee Bwana ee Bwana