Chorus
Kila wakati nitamhimidi Bwana
Sifa zake zi kinywani mwangu daima
Nafsi yangu itajisifu, wanyenyekevu wasikie wafurahi *2
Verse 2
Nalimtafuta Bwana akanijibu
Akaniponya na hofu zangu zote
Verse 3
Wakamwelekea wakatiwa nuru
Wala nyuso zao hazitaona haya
Verse 4
Maskini aliita Bwana akasikia
Akamuokoa na taabu zake zote