SectionsOffertoryNaenda Mimi Nikatoe

Naenda Mimi Nikatoe

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeOffertory
Chorus

Naenda mimi nikatoe zawadi nikampe Mwokozi wangu

Naenda mimi nikatoe zawadi Japo kidogo nitakachotoa ninamuomba apokee

Verse 2

Ule wakati ndugu umefika wa kumpa Mungu wako zawadi

Nenda katoe ulicho nacho kampe Mungu wako

Verse 3

Hata kidogo ndugu ukatoe, Mungu wako kwani anakuona

Nenda katoe ulicho nacho kampe Mungu wako

Verse 4

Ulivyo navyo ndugu vya Bwana usisite usimame katoe

Nenda katoe ulicho nacho kampe Mungu wako