SectionsEntranceMwokozi Wangu Rabi

Mwokozi Wangu Rabi

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,LentEntrance
Verse 1

Mwokozi wangu Rabi

Hukukosa kitunhukuitenda dhambi

Wapigwa bure tu

Mwenye dhambi ni mie

Mie mwenye ovu

Toba nihurumie

Nisikose wokovu

Verse 2

Kwanza sijazaliwa

Ulinikumbuka

Mtini kachomewa

Kwa yangu sadaka

Na mie nisiwaze

Nimekuwa mgumu

Rabi hunigeuza

Ukome wazimu

Verse 3

Leo nakuungama

Ndiwe Mungu wangu

Mwenye wingi wa neema

Mkazi wa uwingu

Sasa nimekupenda

Muinue mtumwao

Kwa mambo kuyatenda

Mpe nguvu na moyo