Verse 1
Mwokozi kafufuka - tuimbe aleluya katoka kaburini
Amefufuka Yesu - tuimbe aleluya katoka kaburini
Chorus
Tuimbe aleluya - Mwokozi kafufuka
Mauti yameshindwa - tuimbe aleluya
Verse 3
Kaburi lafunguka -
Mwokozi kafufuka -
Verse 4
Na sasa yuko hai -
Shujaa na hodari -
Verse 5
Bwana wa dunia -
Daima atawala -
Verse 6
Mchungaji wetu mwema -
Uzima alitoa -
Verse 7
Uzima kapotea -
Leo kadhihirishwa -
Verse 8
Uzima tulipata -
Katika ubatizo -
Verse 9
Siishi tena mimi -
Uhai wangu Kristu -
Verse 10
Hiyo ndiyo siku kuu -
Ya Yesu hata yetu -