Chorus
Amka kinanda ngoma na zeze, zeze tulipige
Ngoma na tucheze, Mwokozi amezaliwa *2
Mji wote ni furaha chereko na vifijo,
Nao malaika wanaimba kwa furaha
Gloria Gloria Gloria Gloria Gloria glo-ria
Verse 2
Bwana Yesu Kristu kazaliwa leo Bethlehemu
Nao malaika wanashangilia Mbinguni
Verse 3
Waumini wote njoni kwa furaha tuimbe
Chereko chereko kazaliwa Bwana aleluya
Verse 4
Tufurahi sote Bwana Yesu Kristu kazaliwa
Amka kinanda ngoma pia zeze shangilia