SectionsEntranceMwimbieni Mwimbieni Bwana

Mwimbieni Mwimbieni Bwana

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Mwimbieni,

Mwimbieni Bwana, mwimbieni Bwana,

Mwimbieni, mwimbieni Bwana wimbo mpya,

Kwa maana,

Ametenda Bwana, mambo ya ajabu,

Kwa maana Bwana ametenda maajabu,nn{ Inueni sauti zenu, imbeni kwa furaha

Imbeni na zaburi mshangilieni Mwokozi } *2

Verse 2

Mkono wa kuume, mkono wake mwenyewe

Mkono wake wa kuume umetenda wokovu

Verse 3

Ameufunua, Bwana amefunua

Wokovu wake machoni kwa mataifa yote

Verse 4

Miisho yote, miisho ya dunia

Imeuona wokovu, wokovu wake Bwana