SectionsEntranceMwimbieni Bwana

Mwimbieni Bwana

Advent,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Mwimbieni Bwana, mataifa ya dunia

Mwimbieni Bwana litukuzeni jina lake

Verse 2

Tangazeni wokovu wake siku kwa siku

Yaelezeni mataifa utukufu wake

Verse 3

Utukufu na uzuri unamtangulia, Enzi nanwangavu zimo katika kikao chake kitakatifu

Verse 4

Mpeni Bwana enyi jamii za mataifa

Mpeni Bwana sifa na enzi

Verse 5

Mpeni Bwana utukufu wa jina lake

Toeni sadaka ingieni katika sebule zaken

Verse 6

Semeni kati ya mataifa, Bwana ni mfalme

Verse 7

Atatawala ulimwengu kwa haki

Na mataifa kwa uaminifu waken

Verse 8

Atukuzwe Baba na mwana, na Roho Mtakatifunkama mwanzo na sasa, na siku zote milele.

Amina.n