Chorus
Mwimbieni Bwana, mataifa ya dunia
Mwimbieni Bwana litukuzeni jina lake
Verse 2
Tangazeni wokovu wake siku kwa siku
Yaelezeni mataifa utukufu wake
Verse 3
Utukufu na uzuri unamtangulia, Enzi nanwangavu zimo katika kikao chake kitakatifu
Verse 4
Mpeni Bwana enyi jamii za mataifa
Mpeni Bwana sifa na enzi
Verse 5
Mpeni Bwana utukufu wa jina lake
Toeni sadaka ingieni katika sebule zaken
Verse 6
Semeni kati ya mataifa, Bwana ni mfalme
Verse 7
Atatawala ulimwengu kwa haki
Na mataifa kwa uaminifu waken
Verse 8
Atukuzwe Baba na mwana, na Roho Mtakatifunkama mwanzo na sasa, na siku zote milele.
Amina.n