SectionsEntranceMwimbieni Binti Sayuni

Mwimbieni Binti Sayuni

LentEntrance
Verse 1

Mwimbeni binti sayuni, ee watu

Yuaja ni mwenye upole

Tazama ufalme wake yuaja kwetu

Kapanda punda mwanapunda

Chorus

Sauti, tuimbe, hosanna *2n

Na zipazwe leo na tumwimbie (Yesu)

Hosanna hosanna

Mwokozi, anawaita nyumbani, wana Daudin(Yesu) amekuja kwa jina la Bwana

Wanamwimbia (Yesu)

Verse 3

Tandikeni nguo zenu, Bwana apite

Mbarikiwa anakuja

Pambazeni njia kwa maua mazuri

Mbarikiwa anakuja

Verse 4

Fungueni mioyo yenu kwake,

Apate kuingia ndani

Mpokeeni Bwana mioyoni mwenu

Bwana mwenye upole mwingi