Chorus
Mwili wako Yesu mwema unatushibisha
Damu yako hakika inatuburudisha
Verse 2
Mema yote tunayoyapata maishani
Yanatuonya imani twatambua kuwa
Verse 3
Mbali nawe tunayo makubwa masumbuko
Twaja kwako kutulizwa kwa kuwa twajua
Verse 4
Ni bahati kushinda ile ya malaika
Na wanadamu kumla Bwana twashukuru kwani
Verse 5
Mapendo uliyotuonyesha msalabani
Yanashinda ufahamu kwetu sisi kweli
Verse 6
Na baadaye tukisha kupita uzima huu
Utupokee Mbinguni tufurahi nawe