Verse 1
[(Mwili wa Bwana Yesu) chakula cha mbingu,n(ni chakula cha roho) chenye uzima] *2
Hima uwe nasi ee Bwana Yesu,nukatushibishe chakula boran{Ni chakula cha roho chenye uzima} *2
Verse 2
[(Yesu alitwambia) yeye ni chakula,n(ni chakula cha roho) chenye uzima] *2
Anilaye mimi na kuinywa damu, anaonuzima wa siku zoten(Ni chakula cha roho chenye uzima) *2n
Verse 3
{(Yesu alitwambia) kwamba tumpokee,n(ni chakula cha roho) chenye uzima} *2
Sote twaamini ni mwili wake, piantwaamini ni damu yaken(Ni chakula cha roho chenye uzima) *2
Verse 4
[(Hii ndio karamu) aliotuachia,n(ni chakula cha roho) chenye uzima] *2
Ee Bwana Mwokozi tunakuomba, kwanchakula hiki tuimariken(Ni chakula cha roho chenye uzima) *2