Verse 1
Mwanakondoo
Mwana wa Mungu uondoaye dhambi zandunia utuhurumie x2
Mwanakondoo,
Mwana wa Mungu uondoaye dhambi zandunia. Utuhurumie.
Utujalie, utujalie, amani
Utujalie, utujalie, utujalie amani. X3
Verse 2
Ufalmeo ufke utakalo lifanyike dunianinkama Mbinguni. Baba wa mbinguni jinanlako litukuzwe.
Verse 3
Utupe leo mkate, mkate wetu na utupentupe mkate wa kila siku. Baba wanmbinguni jina lako litukuzwe.
Verse 4
Makosa tusamehe kama vile twasamehenwatu waliotukosea. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.
Verse 5
Usitutie penye kishawishi walakininmaovuni utuopoe. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.n
Verse 6
Kwa kuwa ufal me ni wako na nguvu nanutukufu hata milele. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.