Mwanakondoo

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Mwanakondoo

Mwana wa Mungu uondoaye dhambi zandunia utuhurumie x2

Mwanakondoo,

Mwana wa Mungu uondoaye dhambi zandunia. Utuhurumie.

Utujalie, utujalie, amani

Utujalie, utujalie, utujalie amani. X3

Verse 2

Ufalmeo ufke utakalo lifanyike dunianinkama Mbinguni. Baba wa mbinguni jinanlako litukuzwe.

Verse 3

Utupe leo mkate, mkate wetu na utupentupe mkate wa kila siku. Baba wanmbinguni jina lako litukuzwe.

Verse 4

Makosa tusamehe kama vile twasamehenwatu waliotukosea. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.

Verse 5

Usitutie penye kishawishi walakininmaovuni utuopoe. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.n

Verse 6

Kwa kuwa ufal me ni wako na nguvu nanutukufu hata milele. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.