SectionsEntranceMwana Wa Mungu

Mwana Wa Mungu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,LentEntrance
Verse 1

Mwana wa Mungu, Yesu Kristu,

Bwana ninakuomba unisikie.

Mimi mdhambi ninatubu.

Bwana unisafishe na damu yako. *2

Chorus

{ Bwana unisafishe, hakika sina weman(sina wema) bila neema yako,

Mimi mwenyewe sina uwezo } *2

Verse 3

Nina imani kwako Bwana,nvile ulinifia msalabani.

Ulichukua dhambi zangu,

Ukanifungulia kwako mbinguni *2

Verse 4

Mungu wa amani na mapendo,

Mimi nitatukuza jina lako kuu

Unishike mkononi,nkazi yake shetani kutupoteza *2

Verse 5

Na kazi yangu ikiisha, Bwana,

Ninatamani kuja kwako juu,

Niwe pamoja na wateule,

Tukitumikia mpaka milele. *2