SectionsEntranceMwamba Wenye Imara

Mwamba Wenye Imara

Ordinary Time,LentEntrance
Verse 1

Mwamba wenye imara, kwako nitajificha

Maji hayo na damu, yaliyo toka humu

Hunisafi na dhambi, hunifanya mshindi

Verse 2

Kwa kazi zote pia, sitimizi sheria

Nijapofanya bidii, nikilia na kuudhi

Hayaishi makosa, niwe wa kuokoa

Verse 3

Sina cha mkononi, naja msalabani

Nilitupu, nifike, ni mnyonge, nishike

Nilimchafu naja, nioshe nisijafa

Verse 4

Nikungojapo chini, na kwenda kaburini,

Nipaapo mbinguni, na kukwona enzini

Roho yangu naiwe, rahani mwako wewe