Mwalimu, tazama,nhuyu amepatikana ana dhambinanapaswa kupigwa mawe
Kama sheria ilivyoandikwanna yapaswa yeye kufa mawe
[b] Bwana Yesu akaseman|s| Ni nani yeye asiye na dhambi ampige jiwe *2
Ni nani yeye nasema ni nanii*2
|a| Ni nani yeye asiye na dhambi ampige jiwe *2
Hakuna nasema, hakuna nasema *2
|t| Ni nani yeye asiye na dhambi ampige jiwe *4
|b| Ni nani yeye asiye na dhambi ampige jiwe
Ni nani yeye ni nani ni nani, ni nani ni nani
Ni nani, ni nani ni nani, ni nani ni nani*2
Wa -ka -shi -kwa -na -bu -twa -a!
Wakayatupa mawe chini na kwa aibu wakaenda zao
Walitazama tazama, hakukuwa naye mtu
Aliyekuwa tayari aweze kurusha jiwe
Yesu naye akasema, kamwambia mama yule
Inuka uende zako, usitende dhambi tena
Somo hili lafundisha na sisi tusiwe mbele
Kuwahukumu wenzetu, kujiona sisi wema
Tujinyenyekeze chini, tusijinyanyue juu
Yeye Mungu mwenye haki atatusamehe dhambi