SectionsExitMwalimu Mwalimu Tazama

Mwalimu Mwalimu Tazama

Ordinary TimeExit
Verse 1

Mwalimu mwalimu hebu tazama tazama tazama

Jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo mazuri

Chorus

[b] Naye mwalimu akasema -n[w] {Hakuna hata kimoja kitakachosalia (humu)

Tarumbeta yake Bwana itakapolia,n(vyote) Vitabomolewa vitabomolewa, siku hiyo inakuja} *2

Verse 3

Kesheni kesheni msije ingia majaribuni

Kesheni kesheni Bwana asiwakute mmelala.

Verse 4

Zitubuni dhambi kwa unyenyekevu ili muokoke

Kemeeni anasa pia nayo matendo machafu.

Verse 5

Saidieni maskini pia na wote wajane

Msipende kulipwa kwa yale yote mnayoyatenda