Mungu Yulee
{Nimemuona yule ninayemtafuta nanneema zake, nimemuona leo nimemuona
Mungu) x2. Mkononi mwake ana uzimantena ni wa milele, mkononi mwake ananuzima ninaoutafuta, na uzima huo anatoanbure kwa walio tayari, lakini kuna kanuninmoja ya kwamba, uwajali watu.
Nimemuona Mungu yu mtupu u hana nguon- anatamani mimi niende nikamvishe
Nimemuona Mungu ana njaa hana chakulan- anatamani mimi niende nikamlishe
Nimemuona Mungu ni mgonjwa a kitandanin- anatamani mimi niende kumtazama
Nimemuona Mungu amefungwa a gerezanin- anatamani mimi niende kumfariji
Nimemuona Mungu ni mkimbizi mpakanin - anatamani mimi niende kumpokea
Nimemuona Mungu ni yatima hana wazazin- anatamani mimi niende nikamtunze
Nimemuona Mungu ni mjane hana matunzon- anatamani mimi niende kumhifadhi
Nimemuona Mungu amefwa ana majonzin- anatamani mimi niende kumfariji
Nimemuona Mungu ni kilema na hajiwezin- anatamani mimi niende kumuinua
Nimemuona Mungu atolewa angali mimban- anatamani mimi niende kumtetea
Nimemuona Mungu anapigwa kwa makomboran- anatamani mimi niende suluhisha
Nimemuona Mungu ni mtumwa ananyanyaswan- anatamani mimi niende kumtetean