SectionsEntranceMungu Wangu Nipokee

Mungu Wangu Nipokee

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,LentEntrance
Chorus

Nipokee Mungu wangu nipokee *2

Mbele yako ninakuja daima

Sinitupe mbali nawe, mimi mwenye dhambi

Nipokee Mungu wangu wangu nipokee

Verse 2

Adui wako shetani amenizingira, na mitego ya kila aina

Nifanye nini Bwana nisipotee *2

Verse 3

Kila jambo nifanyalo, laenda kombo Bwana

Sijiwezi bila msaada wako, nifanye nini Bwana nikufikie

Verse 4

Mali yangu yote Bwana nitakurudishia

Mimi pia mali yako Bwana, nifanye nini Bwana unipokee

Verse 5

Kwako Bwana nitadumu milele yote Bwana

Na daima nikutumikie, nifanye nini Bwana nifike kwako