SectionsEntranceMungu Wangu Mungu Wangu Mbona Umeniacha

Mungu Wangu Mungu Wangu Mbona Umeniacha

Ordinary Time,Pentecostal,Ordinary Time,Ordinary Time,Easter,Wedding,Ordinary Time,Wedding,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Pentecostal,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,EasterEntrance
Chorus

Mungu wangu, Mungu wangu mbona umeniacha

Verse 2

Wote wanionao huncheka sana

Hunifyonya watikisa vichwa vyao husemanhutegemea Bwana na amponye

Na amwokoe sasa maana apendezwa na yeye

Verse 3

Kwa maana mbwa wamenizunguka

Kusanyiko la waovu wamenisonga

Yamenizua mikono na miguu

Naweza kuihesabu mifupa

Verse 4

Wanagawanya nguo zangu

Na vazi wanalipigia kura

Nawe usiwe mbali

Ee Mungu wangu fanya haraka kunisaidia

Verse 5

Nitalihubiri jina lako kwa ndugu zangu

Katikati ya kusanyiko nitakusifu

Ninyi mnaomcha Bwana, msifuni

Enyi nyote mlio wazao wa Yakobo mtukuzeni.