SectionsExitMungu Unihifadhi Mimi

Mungu Unihifadhi Mimi

Ordinary Time,Pentecostal,Ordinary Time,Ordinary Time,Easter,Wedding,Ordinary Time,Wedding,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Pentecostal,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Mungu unihifadhi mimi, unihifadhi mimi,

Kwa maana nakukimbilia wewe

Unihifadhi mimi, unihifadhi mimi,

Kwa maana nakukimbilia wewe

Verse 2

Bwana ndiye fungu, fungu la posho langu

Wewe unaishika kula yangu

Verse 3

Nimeweka Bwana mbele yangu daima

Yuko kuumeni kwangu sitaondoshwa

Verse 4

Moyo wangu Bwana, na unafurahi

Nao mwili unakaa kwa matumaini