Chorus
Mungu mmoja katika nafsi tatu mamoja, ni fumbo kubwa *2n{ (Kuwa Mungu) Mungu Baba (Mungu) Mungu mwanan(Mungu) Roho Mtakatifu, Mungu mmoja } *2
Verse 2
Usifiwe Utatu Mtakatifu, Mungu Baba Mungu Mwana
Na Roho Mtakatifu, milele na milele
Verse 3
Usifiwe Mungu Baba yetu, Mungu Muumba mpaji
Umeziumba mbingu, nchi na vitu vyote
Verse 4
Usifiwe Mungu Mwana Mwokozi, Mungu kweli mtu kweli
Uliyetukomboa, kutoka utumwani
Verse 5
Usifiwe Roho Mtakatifu, mwalimu kiongozi
Mgavi wa vipaji, pia mfariji wetu