Chorus
Tazama Mungu kaniita kati yao wanyongennimtumikie yeye
Tazama amenichagua kati ya viumbennimuimbie yeyen{Nitashangilia, sitaona haya,nnitaruka kama ndama a haa
Nami nitayatangaza bila woganmatendo yake kwa mataifa } *2
Verse 2
Mungu amenichagua, mimi amenichagua
Tena akanitakasa na kunibariki, nimuimbie
Verse 3
Furaha yangu kubwa, hii ni kuimba Nimwimbie
Mungu wangu nyakati hizi za ujana ujana wangu
Verse 4
Tujalie ujasiri, uvumilivu, wa kutangaza
Neno lako Mungu kwao mataifa, wakufuate.
Verse 5
Natarajia ushindi, siku ya mwisho, Nishangilie
Na nifurahiye utukufu wako, milele yote