SectionsPresentation of GiftsMungu Baba Twakutolea

Mungu Baba Twakutolea

Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimePresentation of Gifts
Verse 1

Mungu Muumba twakutolea sadaka safi

Ee Baba pokea *2

Chorus

[Sadaka] Ee Baba pokea *2

Tunakutolea sadaka safi *2n[Sadaka] Ee Baba pokea *2

Verse 3

Mkate huu uwe mfano wa mwili wako-

Ee Baba pokea

Verse 4

Divai hii iwe ishara ya damu yako-

Verse 5

Na fedha zetu za mifukoni twakutolea-

Verse 6

Maisha yetu kwa roho safi twakutolea-

Verse 7

Mazao yetu ya mashambani twakutolea-

Verse 8

Matendo yetu matesi yetu twakutolea-

Verse 9

Furaha yetu uchungu wetu twakutolea-

Verse 10

Kwa leo hii twakushukuru kwa wema wako-