Mungu Baba Twakutolea
Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimePresentation of Gifts
Verse 1
Mungu Muumba twakutolea sadaka safi
Ee Baba pokea *2
Chorus
[Sadaka] Ee Baba pokea *2
Tunakutolea sadaka safi *2n[Sadaka] Ee Baba pokea *2
Verse 3
Mkate huu uwe mfano wa mwili wako-
Ee Baba pokea
Verse 4
Divai hii iwe ishara ya damu yako-
Verse 5
Na fedha zetu za mifukoni twakutolea-
Verse 6
Maisha yetu kwa roho safi twakutolea-
Verse 7
Mazao yetu ya mashambani twakutolea-
Verse 8
Matendo yetu matesi yetu twakutolea-
Verse 9
Furaha yetu uchungu wetu twakutolea-
Verse 10
Kwa leo hii twakushukuru kwa wema wako-