SectionsExitMsisumbuke Basi

Msisumbuke Basi

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Msisumbuke, msisumbuke basi mkisema tule nini au tunywe nini au tuvae nini

Kwa sababu hayo yo-te mataifa huyatafuta-

Kwa sababu Baba yenu wa Mbinguni anajua kuwa mwayahitaji ha-yo yoten{Bali utafuteni kwanza, ufalme wake,

Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake

Na ha-yo yote, na ha-yo yote mtazi-dishiwa mtazidishiwa } *2

Verse 2

Ni yu-pi kwenu ambaye akijisumbua,

Aweza kujiongeza kujiongeza kimo chake hata mkono mmoja

Basi ikiwa hamuwezi neno lililo dogo,

Kwa nini kujisumbua kujisumbua kwa ajili ya-yale mengine

Verse 3

Yatafakarini maua jinsi yameavyo,nhayatendi kazi hayatendi kazi hayatendi wa-la hayasokotinnami nawaambieni hata Suleiman katika fahari yake yote

Hakuvikwa hakuvikwa vizuri kama moja wapo ya hayo

Verse 4

Basi ikiwa Mungu huvika hivi majani ya kondeni

Yaliyopo leo yaliyopo leo na kesho hutupwa karibuni karibuni

Je hatawatendea nyinyi zaidi

Enyi wa imani haba imani haba enyi wa imani haba