Msifuni Bwana Enyi Mataifa
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Msifuni Bwana enyi mataifa,
Mpigieni kelele za shangwe
Bwana ni Mfalme wa mataifann{ Fadhili za Bwana Bwana Mungu wetu
Fadhili za Bwana ni za milele } *2nn{ Bwana ndiye Muumba wetu, ndiye Bwana Mungu wetu
Na tumtukuze Bwana Mungu milele na hata milele } *2
Verse 2
Mwimbieni Bwana wimbo mpya
Mwimbieni Bwana kwa kinanda
Imbeni kwa sauti ya shangwe, mwimbieni
Verse 3
Enyi mataifa mtukuzeni Bwana Mungu
Itangazeni sauti ya sifa zake
Verse 4
Bwana Mungu mfalme ni mkuu
Juu ya mataifa yote
Na utukufu wake ni juu ya Mbingu na nchi