Msifadhaike Mioyoni
Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,LentThanksgiving
Verse 1
Msifadhaike, mioyoni mwenu,
Mwaamini Mungu Baba Mbinguni,
Niamini na mimi *2
Chorus
Nyumbani mwa Baba, mna makao
Mkajitahidi kuomba *2n/s/ Nafasi ziko, nafasi zisingali kuweko
Ningaliwaambia leo nakwenda mimin/b/ (Kuwaandalia) kisha nitakwenda na mimi kwa Baba
Verse 3
Tomaso akamwambia, Bwana sisi hatujui uendako wewe
Nasi twaijuaje njia *2
Verse 4
Mimi ndimi njia na ukweli na uzima
Mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi