SectionsThanksgivingMshukuruni Mwokozi

Mshukuruni Mwokozi

Thanksgiving
Chorus

Mshukuruni mwokozi enyi mataifa

Pigeni vigelegele pigeni makofi *2

Tangazeni rehema zake hekaluni mwake,

Semeni ya kuwa Bwana ni mwenye adili *2n

Verse 2

Njoni tumwimbie Bwana

Mwamba wa wokovu wetu

Mikononi mwake zimo pande ya dunia.

Bahari ni yake ndiye aliyetuumba

Na mikono yake ilituumba sisin

Verse 3

Bwana ametamalaki mataifa watasema

Ameketi juu ya makerubi Mbinguni

Yeye Bwana katika zayuni ni mkuu

Katukuka juu ya mataifa yoten

Verse 4

Mshangilieni Bwana mwimbieni zaburi

Vinanda na baragumu vyote mpigieni

Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema

Kwa kuwa fadhili ni za milelen