Mshukuruni Bwana
Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Mshukuruni Bwana [mshukuruni]
Mshukuruni Bwana Mungunkwa kuwa yu mwema
Kwa maana fadhili zake ni za milele *2
Verse 2
Ni wa upendo [ni wa upendo]
Ni wa upendo Mungu kwa kuwa yu mwema
Kwa maana fadhili zake ni za milele *2
Verse 3
Ni wa amani…
Verse 4
Ni wa neema…
Verse 5
Ni wa huruma…