Mshipi
Ordinary Time,MarianBible Procession
Chorus
Ni nani aliye Mungu, Mungu ila Bwananni nani aliye mwamba, mwamba ila Mungu,n{Ni Mungu ndiye anifungayenmshipi wa nguvu aha!
Ni Mungu ndiye kimbilio la unyonge wangunaha! Naye anaifanya kamilifu njia yangu } x2
Verse 2
Ni yeye Bwana aliye nguvu zangunnampenda sana ni yeye Jabali langu nanboma langu na Mwokozi wangu Mungunwangu mwamba wangu ninayemkimbilia
Ngao yangu na pembe ya wokovunwangu na ngome yangu
Verse 3
Katika shida zangu nilimwita Bwana ee
Bwana na kumlalamikia Mungu ee Mungunakaisikia sauti yangu hekaluni mwake kilionchangu kikaingia masikioni mwake
Verse 4
Bwana alinitendea sawasawa na hakinyangu akanilipa sawasawa na haki yangu
Verse 5
Nitamwita Bwana astahiliye kusifwanhivyo nitaokoka na adui zangu