Verse 1
Mshinda nguvu za Shetani, Yesu kapaa Mbinguni
Malaika wake pia, wakaja kumshangilia
Verse 2
Tupe Yesu neema yako, tupate kufika kwako
Tufae sifu milele, wema wako juu kule
Verse 3
Umeshuka chini kwetu kuondoa dhambi zetu
Ukapaa kwake Mungu, utufungulie Mbingu
Verse 4
Ee Yesu wetu mkombozi, uwe wetu kiongozi
Uwe leo kitulizo, uwe kesho letu tuzo