Narudi zangu mimi kwa upatanisho
Narudi kwa amani turudiane (aiyo)
Niliyokukosea unisamehe
Na uliyonikosea nimekusamehe ndugu yangu
Narudi zangu mimi kwa upatanisho (ninatafuta amani)
Narudi kwa amani turudiane (yelele)
Niliyokukosea unisamehe (na)
Uliyonikosea nimekusamehe ndugu yangu
Ubinadamu wetu ulituangushantukajeruhiana mioyo yetu (aiyeiye)
Lakini leo wangu, tufarijiane,ntuyaache ya nyuma sasa tuanze upya kabisa
Tulipokwaruzana, tulijichafua,
Tukampa jeuri yule muovu (aiyeiye)
Tukipatana leo ataaibika
Haya tumuaibishe sasa tuanze upya kabisa
Nipe mkono wako tukumbatiane
Jamii ijifunze kutoka kwetu (aiyeiye)
Sogeza shavu Basi na tunusiane;
Busu lenye amani (sasa) tuanze upya kabisa.
Kusameheana kunamleta Yesu katikati ya watu
Kusamehe ni maua
Kunapumzisha kunalegeza mwili kunafungua rohonkusamehe ni maua
Inapendeza sana msamaha ni maua
Inavutia sana msamha ni maua
Inapamba nafsi msamaha ni maua
Inafungua mbingu msamaha ni maua