Chorus
Msalabani Yesu alilia
Mungu wangu mbona waniacha *2
Verse 2
Makuhani walifurahi
Bwana Yesu alipokufa
Watu wengi walisema
Maneno mengi yasiyofaa
Verse 3
Dunia yote ilitetemeka
Bwana Yesu alipokufa
Watu wengi walishtuka
Kweli huyu ni mwana wa Mungu
Verse 4
Ilipofka alasiri
Dunia yote ikawa giza
Papo hapo pazia ya hekalu
Ilipasuka vipande viwili
Verse 5
Ndugu na dada siku ya leo
Msiwe kama yule Thomaso
Amini leo na kutubu dhambi
Mtasamehewa na Bwana Yesu