SectionsEucharistMpigieni Mungu

Mpigieni Mungu

Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Mpigieni Mungu kelele za shangwe nchinyote, imbeni utukufu wake,ntukuzeni sifa zake Mungu mkuu.

Chorus

Mwambieni Mungu matendo yake

Yanatisha kama nini tukuzeni sifa zake

Mungu mkuu x2

Verse 3

Nchi yote inakusujudia na kukuimbiannaam italiimba jina lake njoni, njonintazameni matendo ya Mungu kageuzanbahari kuwa nchi kavu katika mto,nwalivuka kwa miguu.n

Huko ndiko tulikomfurahia mtawalanmilele naam atawala kwa uwezo wakennjoni, njoni sikieni ninyi wenye kumchannami nitatangaza aliyonitenda nanahimidiwe sana Mungu mkuu.