Chorus
Mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari
Mpeni Mungu yaliyo yake Mungu
Verse 2
Mpeni Mungu enyi viumbe vyake
Na mpe Bwana Mungu haki yake
Verse 3
Ulicho nacho waweza kumpa Bwana
Na mpe Bwana Mungu haki yake
Verse 4
Zawadi yako nenda ukampe Bwana
Na mpe Bwana Mungu haki yaken
Verse 5
Anakulinda mchana na usiku
Na mpe nawe shukrani yako mpenin
Verse 6
Ametulinda kutokana na maovu
Na mpe nawe shukrani yako mpenin
Verse 7
Ni wengi sana hawakufanikiwa
Na mpe nawe shukrani yako mpeni
Verse 8
Kuwa na uhai ni dhamana ya Bwana
Na mpe Bwana Mungu haki yake mpeni
Verse 9
Ndipo we dada we ujifkirie
Na mpe nawe shukrani yako mpenin
Verse 10
Na sisi wote tumkumbuke Bwana
Na tumpe nasi shukrani mpeni