SectionsOffertoryMpeni Mungu Yaliyo Yake Mungu

Mpeni Mungu Yaliyo Yake Mungu

Ordinary Time,Ordinary TimeOffertory
Chorus

Mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari

Mpeni Mungu yaliyo yake Mungu

Verse 2

Mpeni Mungu enyi viumbe vyake

Na mpe Bwana Mungu haki yake

Verse 3

Ulicho nacho waweza kumpa Bwana

Na mpe Bwana Mungu haki yake

Verse 4

Zawadi yako nenda ukampe Bwana

Na mpe Bwana Mungu haki yaken

Verse 5

Anakulinda mchana na usiku

Na mpe nawe shukrani yako mpenin

Verse 6

Ametulinda kutokana na maovu

Na mpe nawe shukrani yako mpenin

Verse 7

Ni wengi sana hawakufanikiwa

Na mpe nawe shukrani yako mpeni

Verse 8

Kuwa na uhai ni dhamana ya Bwana

Na mpe Bwana Mungu haki yake mpeni

Verse 9

Ndipo we dada we ujifkirie

Na mpe nawe shukrani yako mpenin

Verse 10

Na sisi wote tumkumbuke Bwana

Na tumpe nasi shukrani mpeni