SectionsOffertoryMpeni Mungu Mali Yake

Mpeni Mungu Mali Yake

Ordinary TimeOffertory
Verse 1

Leteni vipaji kwa Bwana -n

Chorus

mpeni Bwana haki yake

Verse 3

Mkate kiini cha ngano -

Divai tunda la mzabibu -

Chorus

Mpeni Mungu mali yake,nmpeni Bwana haki yake

Verse 5

Nazo nafaka za mashamba -

Na kazi ya mikono yetu -

Nayo mapato ya shughuli -n

Sisi mali yake Mungu -

Tuoe nafsi zetu kwake -

Nayo furaha na uchungu -