Chorus
Moyo wangu wa mwadhimisha Bwana
Roho yangu yamfurahia Mungu
Verse 2
Ni kwa kuwa ameutazamanunyonge wa mjakazi wake
Verse 3
Kwa maana tazama tokea sasa
Vizazi wataniita mbarikiwa
Verse 4
Kwa kuwa amenitendea mambo makuu
Na jina lake takatifu kweli
Verse 5
Ameyatenda maajabunna jina lake takatifu
Verse 6
Wamchao hudumisha rehema
Vizazi hata na vizazi
Verse 7
Amefanya nguvu kwa mkono wake
Atawanya wote wenye kiburi
Verse 8
Aangusha wakuu wa enzi
Na wanyonge yeye huwakweza
Verse 9
Wenye njaa amewashibisha mema
Walio na mali aondoa tupu
Verse 10
Amemsaidia mtumishi wake
Ili kukumbuka rehema zake
Verse 11
Utukufu kwao Baba na Mwana
Msaada wa Roho Mtakatifu
Verse 12
Kama ulivyokuwa hapo mwanzo
Ni vivyo sasa hata milele
Verse 13
Utukufu kwa Baba na Mwana kwa Roho
Kama vile mwanzo wa hata milele Amina