SectionsExitMoyo Wangu Wamwadhimisha

Moyo Wangu Wamwadhimisha

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Moyo wangu wa mwadhimisha Bwana

Roho yangu yamfurahia Mungu

Verse 2

Ni kwa kuwa ameutazamanunyonge wa mjakazi wake

Verse 3

Kwa maana tazama tokea sasa

Vizazi wataniita mbarikiwa

Verse 4

Kwa kuwa amenitendea mambo makuu

Na jina lake takatifu kweli

Verse 5

Ameyatenda maajabunna jina lake takatifu

Verse 6

Wamchao hudumisha rehema

Vizazi hata na vizazi

Verse 7

Amefanya nguvu kwa mkono wake

Atawanya wote wenye kiburi

Verse 8

Aangusha wakuu wa enzi

Na wanyonge yeye huwakweza

Verse 9

Wenye njaa amewashibisha mema

Walio na mali aondoa tupu

Verse 10

Amemsaidia mtumishi wake

Ili kukumbuka rehema zake

Verse 11

Utukufu kwao Baba na Mwana

Msaada wa Roho Mtakatifu

Verse 12

Kama ulivyokuwa hapo mwanzo

Ni vivyo sasa hata milele

Verse 13

Utukufu kwa Baba na Mwana kwa Roho

Kama vile mwanzo wa hata milele Amina